Artwork

Innehåll tillhandahållet av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Allt poddinnehåll inklusive avsnitt, grafik och podcastbeskrivningar laddas upp och tillhandahålls direkt av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deras podcastplattformspartner. Om du tror att någon använder ditt upphovsrättsskyddade verk utan din tillåtelse kan du följa processen som beskrivs här https://sv.player.fm/legal.
Player FM - Podcast-app
Gå offline med appen Player FM !

Utumiaji wa dawa za kulevya umeongezeka 2024 - Ripoti ya dawa za kulevya

1:54
 
Dela
 

Manage episode 425762815 series 2027789
Innehåll tillhandahållet av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Allt poddinnehåll inklusive avsnitt, grafik och podcastbeskrivningar laddas upp och tillhandahålls direkt av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deras podcastplattformspartner. Om du tror att någon använder ditt upphovsrättsskyddade verk utan din tillåtelse kan du följa processen som beskrivs här https://sv.player.fm/legal.
Kuibuka kwa dawa mpya za kulevya za kutengenezwa na rekodi ya usambazaji na mahitaji ya dawa zingine kumeongeza athari za dawa hizo ulimwenguni, na kusababisha kuongezeka kwa shida za utumiaji wa dawa za kulevya na madhara kwa mazingira, imesema leo Ripoti ya Dunia ya Dawa ya 2024 iliyozinduliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa ya kukabili dawa za kulevya na uhalifu, UNODC . Kwa mujibu wa ripoti hiyo idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya ulimwenguni imeongezeka na kufikia watu milioni 292 mwaka 2022 ikiwa ni ongezeko la asilimia 20 katika kipindi cha miaka 10.Akizindua ripoti hiyo jijini Vienna Austria Mkurugenzi Mkuu wa UNODC Ghada Waly ameeleza kuwa uzalishaji wa dawa za kulevya na matumizi yake unazidisha ukosefu wa utulivu na usawa wakati huo huo ukisababisha madhara makubwa kwa afya, usalama na ustawi wa watu.“Tunahitaji kutoa matibabu yaliyofanyiwa uchunguzi na kuwa na Ushahidi wa kuweza kusaidia wale walioathirika na matumizi ya dawa za kulevya huku tukilenga soko haramu la dawa za kulevya na kuwekeza zaidi katika kuzuia matumizi ya dawa hizo.” Amesema Bi. Waly.Matumizi ya bangi yamesalia kutumika zaidi duniani kote ambapo kuna watumiaji watumiaji milioni 228.Ripoti hiyo pia imesema uzalishaji wa cocaine umeweka rekodi mpya ya juu ya uzalishaji wa tani 2,757 mwaka2022, ikiwa ni ongezeko la asilimia 20 zaidi tangu mwaka 2021.Ingawa wastani wa watu milioni 64 duniani kote wanakabiliwa na matatizo yatokanayo na matumizi ya madawa ya kulevya, ni mtu mmoja tu kati ya 11 anayetibiwa.Wanawake wanapata huduma ndogo zaidi za matibabu ikilinganishwa na wanaume.Ripoti hiyo imeeleza jinsi haki ya afya ni haki ya binadamu inayotambulika kimataifa ambayo ni ya binadamu wote, hivyo kutaka wale wote wanaotumia dawa za kulevya kupata haki yao ya matibabu hatakama wameshikiliwa na vyombo vya dola.Kusoma ripoti kamili bofya hapa.
  continue reading

100 episoder

Artwork
iconDela
 
Manage episode 425762815 series 2027789
Innehåll tillhandahållet av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Allt poddinnehåll inklusive avsnitt, grafik och podcastbeskrivningar laddas upp och tillhandahålls direkt av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deras podcastplattformspartner. Om du tror att någon använder ditt upphovsrättsskyddade verk utan din tillåtelse kan du följa processen som beskrivs här https://sv.player.fm/legal.
Kuibuka kwa dawa mpya za kulevya za kutengenezwa na rekodi ya usambazaji na mahitaji ya dawa zingine kumeongeza athari za dawa hizo ulimwenguni, na kusababisha kuongezeka kwa shida za utumiaji wa dawa za kulevya na madhara kwa mazingira, imesema leo Ripoti ya Dunia ya Dawa ya 2024 iliyozinduliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa ya kukabili dawa za kulevya na uhalifu, UNODC . Kwa mujibu wa ripoti hiyo idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya ulimwenguni imeongezeka na kufikia watu milioni 292 mwaka 2022 ikiwa ni ongezeko la asilimia 20 katika kipindi cha miaka 10.Akizindua ripoti hiyo jijini Vienna Austria Mkurugenzi Mkuu wa UNODC Ghada Waly ameeleza kuwa uzalishaji wa dawa za kulevya na matumizi yake unazidisha ukosefu wa utulivu na usawa wakati huo huo ukisababisha madhara makubwa kwa afya, usalama na ustawi wa watu.“Tunahitaji kutoa matibabu yaliyofanyiwa uchunguzi na kuwa na Ushahidi wa kuweza kusaidia wale walioathirika na matumizi ya dawa za kulevya huku tukilenga soko haramu la dawa za kulevya na kuwekeza zaidi katika kuzuia matumizi ya dawa hizo.” Amesema Bi. Waly.Matumizi ya bangi yamesalia kutumika zaidi duniani kote ambapo kuna watumiaji watumiaji milioni 228.Ripoti hiyo pia imesema uzalishaji wa cocaine umeweka rekodi mpya ya juu ya uzalishaji wa tani 2,757 mwaka2022, ikiwa ni ongezeko la asilimia 20 zaidi tangu mwaka 2021.Ingawa wastani wa watu milioni 64 duniani kote wanakabiliwa na matatizo yatokanayo na matumizi ya madawa ya kulevya, ni mtu mmoja tu kati ya 11 anayetibiwa.Wanawake wanapata huduma ndogo zaidi za matibabu ikilinganishwa na wanaume.Ripoti hiyo imeeleza jinsi haki ya afya ni haki ya binadamu inayotambulika kimataifa ambayo ni ya binadamu wote, hivyo kutaka wale wote wanaotumia dawa za kulevya kupata haki yao ya matibabu hatakama wameshikiliwa na vyombo vya dola.Kusoma ripoti kamili bofya hapa.
  continue reading

100 episoder

כל הפרקים

×
 
Loading …

Välkommen till Player FM

Player FM scannar webben för högkvalitativa podcasts för dig att njuta av nu direkt. Den är den bästa podcast-appen och den fungerar med Android, Iphone och webben. Bli medlem för att synka prenumerationer mellan enheter.

 

Snabbguide