Artwork

Innehåll tillhandahållet av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Allt poddinnehåll inklusive avsnitt, grafik och podcastbeskrivningar laddas upp och tillhandahålls direkt av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deras podcastplattformspartner. Om du tror att någon använder ditt upphovsrättsskyddade verk utan din tillåtelse kan du följa processen som beskrivs här https://sv.player.fm/legal.
Player FM - Podcast-app
Gå offline med appen Player FM !

Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa yaonya kuwa dunia inashindwa kutimiza SDGs

1:37
 
Dela
 

Manage episode 426165400 series 2027789
Innehåll tillhandahållet av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Allt poddinnehåll inklusive avsnitt, grafik och podcastbeskrivningar laddas upp och tillhandahålls direkt av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deras podcastplattformspartner. Om du tror att någon använder ditt upphovsrättsskyddade verk utan din tillåtelse kan du följa processen som beskrivs här https://sv.player.fm/legal.
Bila uwekezaji mkubwa na kuongeza hatua, kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs kutasalia kuwa mgumu, imeonya Ripoti ya mwaka huu 2024 kuhusu mwenendo wa utekelezaji wa malengo hayo ikiwa imesalia miaka sita pekee kufikia muda ambao ulimwengu ulijiwekea kuwa umeyatimiza malengo yote 17.Ripoti hiyo ya Umoja wa Mataifa iliyowekwa wazi leo Juni 28 inafichua kuwa ni asilimia 17 tu ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ndio yako katika mwenendo mzuri, huku karibu nusu ikionesha maendeleo madogo au ya wastani, na zaidi ya theluthi moja yamekwama au kurudi nyuma. Athari zinazoendelea za janga la COVID-19, mizozo inayoongezeka, mivutano ya kijiografia na kuongezeka kwa machafuko ya tabianchi kumezuia maendeleo kwa kiasi kikubwa.Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo asubuhi ya leo kwa saa za New York, Marekani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres anasema,"kushindwa kwetu kupata amani, kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na kuongeza fedha za kimataifa kunadhoofisha maendeleo. Ni lazima tuharakishe hatua kwa ajili ya Malengo ya Maendeleo Endelevu na hatuna muda wa kupoteza."Kulingana na ripoti hiyo, watu zaidi ya milioni 23 walisukumwa katika ufukara na zaidi ya watu milioni 100 zaidi walikuwa wakikabiliwa na njaa mwaka wa 2022 ikilinganishwa na mwaka 2019. Idadi ya vifo vya raia katika vita vya kijeshi iliongezeka mwaka jana 2023. Mwaka huo pia ulikuwa wa joto zaidi kuwahi kurekodiwa huku halijoto duniani ikikaribia kiwango cha juu cha nyuzijoto 1.5 za Selsiasi.
  continue reading

100 episoder

Artwork
iconDela
 
Manage episode 426165400 series 2027789
Innehåll tillhandahållet av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Allt poddinnehåll inklusive avsnitt, grafik och podcastbeskrivningar laddas upp och tillhandahålls direkt av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deras podcastplattformspartner. Om du tror att någon använder ditt upphovsrättsskyddade verk utan din tillåtelse kan du följa processen som beskrivs här https://sv.player.fm/legal.
Bila uwekezaji mkubwa na kuongeza hatua, kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs kutasalia kuwa mgumu, imeonya Ripoti ya mwaka huu 2024 kuhusu mwenendo wa utekelezaji wa malengo hayo ikiwa imesalia miaka sita pekee kufikia muda ambao ulimwengu ulijiwekea kuwa umeyatimiza malengo yote 17.Ripoti hiyo ya Umoja wa Mataifa iliyowekwa wazi leo Juni 28 inafichua kuwa ni asilimia 17 tu ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ndio yako katika mwenendo mzuri, huku karibu nusu ikionesha maendeleo madogo au ya wastani, na zaidi ya theluthi moja yamekwama au kurudi nyuma. Athari zinazoendelea za janga la COVID-19, mizozo inayoongezeka, mivutano ya kijiografia na kuongezeka kwa machafuko ya tabianchi kumezuia maendeleo kwa kiasi kikubwa.Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo asubuhi ya leo kwa saa za New York, Marekani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres anasema,"kushindwa kwetu kupata amani, kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na kuongeza fedha za kimataifa kunadhoofisha maendeleo. Ni lazima tuharakishe hatua kwa ajili ya Malengo ya Maendeleo Endelevu na hatuna muda wa kupoteza."Kulingana na ripoti hiyo, watu zaidi ya milioni 23 walisukumwa katika ufukara na zaidi ya watu milioni 100 zaidi walikuwa wakikabiliwa na njaa mwaka wa 2022 ikilinganishwa na mwaka 2019. Idadi ya vifo vya raia katika vita vya kijeshi iliongezeka mwaka jana 2023. Mwaka huo pia ulikuwa wa joto zaidi kuwahi kurekodiwa huku halijoto duniani ikikaribia kiwango cha juu cha nyuzijoto 1.5 za Selsiasi.
  continue reading

100 episoder

Minden epizód

×
 
Loading …

Välkommen till Player FM

Player FM scannar webben för högkvalitativa podcasts för dig att njuta av nu direkt. Den är den bästa podcast-appen och den fungerar med Android, Iphone och webben. Bli medlem för att synka prenumerationer mellan enheter.

 

Snabbguide