Gå offline med appen Player FM !
Harakati za kuelekea uchaguzi mkuu wa urais nchini Rwanda
Manage episode 426924587 series 1072613
Raia wa Rwanda ambao ni wanachama wa Jumuiya ya Afrika mashariki, kwa sasa wapo katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu
Uchaguzi utakaofanyika Julai 15, 2024 kumchagua rais wao mpya Pamoja na wabunge
Rais anayemaliza muda wake Paul Kagame anawania kwa muhula wa nne akisaka ridhaa ya Wanyarwamda kusalia katika Ikulu ya Kigali
Taifa la Rwanda linalo kadilikuwa na jumla ya wakazi 14,410,469 kati yao ni Wanyarwanda takribani milioni 9 wameandikishwa katika daftari la mpiga kura kushiriki katika uchaguzi Urais, Jambo lenye sura mpya kwa sasa ni kwa mara ya kwanza uchaguzi huo utafanyika sambamba na ule wa bunge.
24 episoder
Manage episode 426924587 series 1072613
Raia wa Rwanda ambao ni wanachama wa Jumuiya ya Afrika mashariki, kwa sasa wapo katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu
Uchaguzi utakaofanyika Julai 15, 2024 kumchagua rais wao mpya Pamoja na wabunge
Rais anayemaliza muda wake Paul Kagame anawania kwa muhula wa nne akisaka ridhaa ya Wanyarwamda kusalia katika Ikulu ya Kigali
Taifa la Rwanda linalo kadilikuwa na jumla ya wakazi 14,410,469 kati yao ni Wanyarwanda takribani milioni 9 wameandikishwa katika daftari la mpiga kura kushiriki katika uchaguzi Urais, Jambo lenye sura mpya kwa sasa ni kwa mara ya kwanza uchaguzi huo utafanyika sambamba na ule wa bunge.
24 episoder
Alla avsnitt
×Välkommen till Player FM
Player FM scannar webben för högkvalitativa podcasts för dig att njuta av nu direkt. Den är den bästa podcast-appen och den fungerar med Android, Iphone och webben. Bli medlem för att synka prenumerationer mellan enheter.