Entdecke den MTA Podcast - der dich auf eine spirituelle Reise mitnimmt. Wir bieten dir einen DeepTalk der besonderen Art - ungefiltert und ehrlich. Mit unserem Format möchten wir dir helfen, deine spirituelle Entwicklung voranzutreiben.Unsere Episoden sind gefüllt mit spannenden Geschichten und Portraits von Muslimen aus Deutschland. Abonniere jetzt den Kanal und sei bei jeder neuen Episode dabei!
…
continue reading
Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.
…
continue reading
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
…
continue reading
On The Road with the MTA is a weekly podcast from The Mass Transportation Authority in Flint Michigan. Join us each week as we explore how the MTA is helping our community grow. We are the Flint Mass Transportation Authority... ”Where Transportation Goes, Community Grows!”
…
continue reading
MTatey Talk Entrepreneurship Business Sports card collecting
…
continue reading
Welcome to Lizz Mtango, where amazing things happen.
…
continue reading
Karibu katika Podcast ya Mjasiriamali wa Mtandao, sehemu ambapo utajifunza jinsi Ya kutumia mtandao wa internet kujenga na kukuza biashara yako
…
continue reading
www.islamnu.nl
…
continue reading
m.t.a.r.s (me talking about random stuff)is basically me, ranting or discussing random topics. Enjoy!
…
continue reading
True stories with a little twist, lots of lessons and something new that you never knew. Mostly narrated in swahili, sheng' and a little english. Enjoy.
…
continue reading
Mallu Loves music Loves to talk Just for fun
…
continue reading
Dante Mtanda interviews Tari Mapfumo on her choice of career and work .
…
continue reading
Revista MTA es una revista perteneciente al Movimiento Apóstólico Schoenstatt, creada por la Juventud Masculina de Schoenstatt de San Isidro, Argentina. Surge de la necesidad de compartir con el mundo todo eso que nos regala Dios día a día, dentro y fuera del Movimiento. A través del Podcast publicamos diferentes audios relacionados.
…
continue reading

1
On The Road With The MTA Episode 226 -- The Coldest Night of the Year Is Coming Up February 22nd!
18:29
18:29
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
18:29In studio this week with Stephanie K and Jay is Abby Raguckas and Shelly Hoffman from the Shelter of Flint. The Coldest Night of the Year is a winterrific family-friendly fundraising walk in support of local charities. This event happens on February 22nd. If you would like to learn more and register for the walk, visit their website by clicking her…
…
continue reading

1
MTA PODCAST #26 | Muhammad Hammad Härter
1:55:05
1:55:05
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
1:55:05In dieser Folge MTA Podcast ist wieder Muhammad Hammad Härter zu Gast. Anknüpfend an das letzte Gespräch, sprechen wir diesmal über den Glauben im Alltag und warum das Kalifat der Ahmadiyya Muslim Jamaat doch den Unterschied zu allen anderen macht. 🎧 Hören Sie den MTA Podcast jetzt hier: Spotify: https://open.spotify.com/show/3vOYqjm... Apple Podca…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Uganda kumulika ni kwa nini Uganda imekivalia njuga Kiswahili akieleza mwandishi wetu wa Uganda John Kibego ambaye amezungumza na mwandaaji mwenza wa kongamano hilo Dkt. Kisembo Ronex Tendo, Mkurugenzi wa shirika la Afrika Mashariki Fest.Umoja wa Mataifa na wadau wanasalia na wasiwasi …
…
continue reading

1
Wapalestina wahitaji ufadhili na mshikamano wa kimataifa - Tom Fletcher
3:40
3:40
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
3:40Huko Mashariki ya Kati Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Dharura, OCHA Tom Fletcher alifanya ziara ya siku tatu huko Ukingo wa Magharibi na Gaza ili kujionea hali halisi ya raia. Katika Sharon Jebichii amefuatilia ziara yake na kutuandalia makala hii..Av Sharon Jebichii
…
continue reading

1
Kakuma - Je, unafahamu kwamba nyenje ni chanzo cha protini?
1:32
1:32
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
1:32Katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma, kutokana na ufadhili wa shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), kundi la vijana wanajishughulisha na ufugaji wa wadudu nyenje (Crickets) ili kukabiliana na changamoto ya utapiamlo miongoni mwa watoto wachanga. Anold Kayanda na maelezo zaidi.…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya wahamiaji na wakimbizi nchini Libya, na wakimbizi wajasiriamali katika makazi ya wakimbizi ya Kakuma nchini Kenya. Makala inatupeleka Jerusalemu Mashariki, na mashinani nchini Chad, kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, IOM, limeeleza mshtuko mkubwa na wasiwasi wake kufuatia kugunduliwa kwa makaburi …
…
continue reading

1
IOM: Miili ya wahamiaji 39 yakutwa kwenye makaburi mawili Libya
2:11
2:11
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
2:11Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, IOM, limeeleza mshtuko mkubwa na wasiwasi wake kufuatia kugunduliwa kwa makaburi mawili nchini Libya walimozikwa wahamiaji kadhaa, baadhi yao wakiwa na majeraha ya risasi. Flora Nducha na taarifa zaidiAv Flora Nducha
…
continue reading

1
Mkutano wa pamoja kati ya SADC na EAC kuhusu DRC
20:10
20:10
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
20:10Kwa sehemu kubwa makala ya mtazamo wako imeangazia kuhusu hali ya mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo na mkutano wa pamoja kati ya jumuia ya Afrika mashariki EAC na jumuia ya Nchi za kusini mwa Afrika SADC kutafuta suluhu ya kudumu ya mzozo wa mashariki mwa DRC, huko Gabon upinzani umemtaka kiongozi wa mpito kuweka wazi msimamo wake kuhu…
…
continue reading

1
Mabaya zaidi nchini DRC yanakuja iwapo hatutauchukua hatua, aonya Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN
2:18
2:18
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
2:18Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, leo akizungumza katika Kikao Maalum cha Baraza la Haki za Binadamu kinachofanyika jijini Geneva, Uswisi, ameonya kuwa ghasia zinazoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zinaweza kuwa mbaya zaidi ikiwa hazitashughulikiwa. Flora Nducha na taarifa zaidi.…
…
continue reading

1
Juhudi za mahakama Tanzania kutekeleza Lengo namba 16 ya SDG
3:57
3:57
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
3:57Leo katika makala Hamad Rashid wa Redio washirika KidsTime FM ya mkoani Morogoro Tanzania aanaangazia kuhusu namna Tanzania inaendelea kufanikisha Lengo Namba 16 la Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa linatilia mkazo upatikanaji wa amani, haki na taasisi imara kwa kupunguza mrundikano wa mashauri au kesi mahakamani, kuwezesha upatikanaji wa haki…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya haki za binadamu nchini Jamhuri ya kidemokasia ya Congo DRC, Na masuala ya afya nchini Jamhuri ya Congo, au Congo-Brazaville. Makala inatupeleka nchini Tanzania, na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, leo akizungumza katika Kikao Maalum cha Baraza …
…
continue reading

1
Congo-Brazaville yaelekea kutokomeza ugonjwa wa ngozi na macho
1:50
1:50
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
1:50Wananchi wa Jamhuri ya Congo, au Congo-Brazaville, ni mashuhuda wa jinsi shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni, WHO limewasaidia kukabiliana na ugonjwa wa macho na ngozi unaosababishwa na nzi mweusi wanaozaliana kwenye mito na vijito, ugonjwa ambao uliathiri shughuli zao za kijamii na kiuchumi kutokana na muwasho wa kila mara na upofu. As…
…
continue reading

1
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “MTI WENYE MATUNDA NDIO HURUSHIWA MAWE”.
1:42
1:42
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
1:42Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MTI WENYE MATUNDA NDIO HURUSHIWA MAWE”.Av Dkt. Josephat Gitonga
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwakina inayotupeleka Havan Cuba ambapo mmoja wa walumbi wa lugha ya Kiswahili Jorum Nkumbi, ambaye pia ni mwandishi wa vitabu anayetumia sanaa ya uandishi wa vitabu kuitangaza lugha mama yake ya Kiswahili amezindua kitabu kipya hivi karibuni wakati wa kongamano la kimataifa la Kiswahili. Mengine tuliyokuandalia ni…
…
continue reading

1
Tumetembea wiki mbili kufika kambini Bushagara lakini bado hapa si nyumbani - Mwamini
3:33
3:33
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
3:33Kutana na Mwamini Sebororo mmoja wa mamilioni ya raia wa Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo DRC waliopoteza makazi yao na kila kitu katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki ya taifa hilo huku mgogoro ukiendelea kufurusha watu zaidi. Kuendelea kuzorota kwa hali ya kibinadamu imekuwa mtihani mkubwa kwa wakimbizi wa ndani na jamii zinazowahifadhi. Kupiti…
…
continue reading

1
Uhamishaji watu kwa lazima kutoka kutoka ardhi inayokaliwa sio sahihi - OHCHR
1:23
1:23
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
1:23Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa,(OHCHR) imesisitiza haja ya kusonga mbele kuelekea awamu inayofuata ya usitishaji mapigano huko Gaza, kuachiliwa kwa mateka na wafungwa wote waliokamatwa kiholela, kukomesha vita na kujenga upya Gaza, kwa kuheshimu kikamilifu sheria ya kimataifa ya kibinadamu na sheria za kimataifa za haki za binadamu.…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya usalama Goma DRC, na masuala ya haki za binadamu. Makala na mashinani inaturejesha nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kufuatilia simulizi za wakimbizi wa ndani.Maisha yanarejea katika hali ya kawaida huko Goma baada ya siku kadhaa za mapigano kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (FARDC) na…
…
continue reading
Maisha yanarejea katika hali ya kawaida huko Goma baada ya siku kadhaa za mapigano kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (FARDC) na waasi wa M23 mashariki mwa. Mwandishi wetu wa habari jimboni Kivu Kaskazini amesema kwamba shughuli zinaanza tena katika mji wa ziwa la Kivu, Goma, wakati M23 imechukua wilaya nyingi za mji mkuu wa Jimbo h…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kushuhudia sintofahamu na maombi ya wakazi wa Goma baada ya waasi wa M23 kutwaa mji huo. Mashinani tunakwenda Somalia na pia tunakuletea muhutasari wa habari.Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Co…
…
continue reading
Vita inayoendelea Sudan kwa zaidi ya miezi 18 sasa inaongeza wimbi la wakimbizi ndani na nje ya nchi kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA. Shirika hilo linasema takriban wakimbizi 18,000 waliokimbia vita Sudan hivi sasa wanaishi katika kambi ya wakimbizi ya Korsi katika eneo la Birao, jimbo la Vakaga Kat…
…
continue reading

1
Maandamano huko Goma DRC, wakimbizi waomba UN iwafikishie misaada
3:44
3:44
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
3:44Ikiwa ni wiki moja sasa tangu waasi wa M23 watangaze kutwaa Goma, jimboni Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, na kisha serikali kutangaza Beni kuwa mji mkuu wa sasa wa jimbo hilo, hii leo Jumatatu Februari 3, maandamano makubwa ya amani yamefanyika mjini Beni, yakiongozwa na mashirika ya kiraia na wananchi. Taarifa …
…
continue reading

1
Tutafute majadiliano badala ya kugawanyika - Guterres
1:50
1:50
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
1:50Ikiwa kesho Februari 4 ni Siku ya Kimataifa ya Udugu wa Kibinadamu, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres,kupitia ujumbe mahususi kwa ajili ya siku hii ametoa wito wa kuimarisha umoja, usawa, na kuheshimiana katika kipindi hiki cha ongezeko la ubaguzi na kutovumiliana duniani. Anold Kayanda na maelezo zaidi.…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia machafuko nchini Jamhuri ya Kidemocrasia ya Congo DRC, na ujumbe wa Katibu Mkuu wa UN kuhusu Siku ya Kimataifa ya Udugu wa Kibinadamu. Makala inatupeleka nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR na mashinani tunarejea DRC, kulikoni?Ikiwa ni wiki moja sasa tangu waasi wa M23 watangaze kutwaa Goma, jimboni Kivu Kaskazini, mas…
…
continue reading

1
Juhudi za kimataifa katika kusaka amani ya mashariki mwa DRC
20:14
20:14
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
20:14Makala ya yaliyojiri wiki hii kwa sehemu kubwa imejikita katika kudadavua hali yausalama wa mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo ambako tangu mwanzo wa juma hili kulishuhudiwa mapigano makali kati ya jeshi la Nchi hiyo na waasi wa M23 wanaosaidiwa na Rwanda kwenye mji wa Goma, lakini pia siasa za mataifa ya Kenya, Uganda, Tanzania na maen…
…
continue reading

1
Hali ni tete mashariki mwa DRC, msaada wa kibinadamu haufikii wahitaji - Mashirika
1:52
1:52
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
1:52Mashirika ya Umoja wa Mataifa yameendelea kutoa wito wa kurejeshwa kwa amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo (DRC) kwani hali inazidi kuwa tete na kuuzidi uwezo wa mashirika hayo kusaidia. Selina Jerobon amefuatilia matamko ya mashirika hayo na kutuandalia taarifa ifuatayo. Janga la haki za binadamu katika eneo la mashariki mwa Jamhur…
…
continue reading

1
Umeme wa uhakika wanufaisha wanafunzi na jamii nchini Senegal
3:17
3:17
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
3:17Senegal, taifa lenye watu zaidi ya milioni 18.5 liko kwenye mwelekeo wa kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma ya umeme. Benki ya Dunia inasema kiwango cha kupata umeme kwenye taifa hilo sasa ni asilimia 84. Wakati huu ambapo asilimia zaidi ya 30 ya jamii za vijijini hazina huduma hiyo, serikali kwa kushirikiana na wadau kama vile Benki ya Dunia…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya usalama nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na tutakuletea simulizi ya wakimbizi wa ndani nchini humo. Makala inatupeleka nchini Senegal na mashinani nchini Afghanistan, kulikoni?Mashirika ya Umoja wa Mataifa yameendelea kutoa wito wa kurejeshwa kwa amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo (DRC) k…
…
continue reading

1
Tumechoka na vita tunachotaka ni amani turejee nyumbani: Masimango Mango
1:41
1:41
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
1:41Kutana na mkimbizi Masimango Mango kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, ambaye kwa sasa anaishi kwenye makazi ya wakimbizi wa ndani ya Lushagara Goma jimboni Kivu Kaskazini Mashariki mwa DRC, anasema kwa hakika vita imemchosha na anacholilia ni amani ili arejee nyumbani na familiia yake. Flora Nducha na taarifa zaidi.…
…
continue reading

1
On The Road With The MTA Episode 225 -- Getting To Know The Team At The MTA!
12:45
12:45
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
12:45Stephanie K and Jay welcome Leslie Phillips and Dennis McDonagh to the studio this week. Learn more about who Leslie and Dennis are and what they do here at the MTA! If you would like to join the team here at the MTA visit our website.Av Flint MTA
…
continue reading
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “MAADHURA”Av Onni Sigalla
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mad akwa kina inayotupeleka nchini Tanzania ambapo Chuo cha ulinzi wa amani kwa kushirikiana na wataalamu kutoka ‘UNITA’ na Idara ya Umoja wa Mataifa ya Operesheni za Ulinzi waliandaa mpango wa ufundishaji kuhusu ulinzi wa amani, Brigedia Jenerali George Itang’are ambaye Mkuu wa chuo hicho anaelezaIkiwa leo ndio siku am…
…
continue reading

1
UNEP: Mradi wa UNREDD umekuwa mkombozi kwa mazingira na kwa wakulima DRC
3:41
3:41
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
3:41Karibu nusu ya idadi ya watu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wanategemea misitu kwa chakula, nishati, afya, riziki na huduma za mfumo wa ikolojia kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la mazingira UNEP ambao ni takriban watu zaidi ya milioni 40. Kwa kulitambua hilo mradi wa Umoja wa Mataifa wa kulinda bayoanuai huku ukipambana na u…
…
continue reading

1
UNAIDS: Marekani yatangaza kurejesha ufadhili dhidi ya VVU
2:08
2:08
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
2:08Baada ya Serikali ya Marekani kutoa tangazo jipya sasa kwamba itaendelea kufadhili huduma zinazolenga vita dhidi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), shirika la Umoja wa Mataifa la kukabiliana na VVU na Ukimwi (UNAIDS) limeeleza kuupokea uamuzi huo kwa furaha na kuuita wa kuokoa maisha. Selina Jerobon na maelezo zaidi.…
…
continue reading
Hii leo jaridani tuanaangazia masuala ya ufadhili wa huduma za afya, na kilimo cha cacao nchini Liberia. Makala inatupeleka nchini DRC na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Baada ya Serikali ya Marekani kutoa tangazo jipya sasa kwamba itaendelea kufadhili huduma zinazolenga vita dhidi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), shirika la Umoja wa Mataifa la kukabil…
…
continue reading

1
Kutoka dereva wa teksi hadi mkulima wa kakao: IFAD Liberia
1:51
1:51
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
1:51Kilimo bora cha kakao huko Liberia kimemwondolea uchovu na kukosa kulala, mkazi wa kaunti ya Nimba, kaskazini mashariki mwa Liberia, baada ya mradi wa mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Kilimo, IFAD nchini humo kumwezesha sio tu kugeukia kilimo, bali pia kuajiri vijana wengine na hivyo kufanikisha lengo la Umoja wa Mataifa la kuondokana na u…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Kenya kushuhudia matumizi ya nishati safi na ya gharama nafuu kupika mlo shuleni jijini Nairobi linaloofanikishwa na Shirika la Food4Education. Pia tunakuletea habari kwa ufupi na mashinani inatupeleka Ethiopia.Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema hali ya usalama mjini Goma, jimboni …
…
continue reading

1
Sio lazima kiboko, kampeni ya UNICEF Tanzania inayoonesha mafanikio katika elimu
2:33
2:33
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
2:33Katika makala ya leo Anold Kayanda anatupeleka nchini Tanzania ambako katika kuhamasisha elimu iliyo salama inayolenga kumlea na kumfundisha mtoto kwa njia chanya zisizoumiza, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, (UNICEF) linamuangazia Mwalimu Magesa Stanslaus ambaye amebadilika kutoka katika matumizi ya viboko na sasa anatumia motisha …
…
continue reading

1
MONUSCO na polisi wa DRC waongeza doria katika kambi ya Bushagara kufuatia machafuko mapya ya M23
2:16
2:16
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
2:16Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, MONUSCO kwa kushirikiana na polisi wa kitaifa wa nchi hiyo PNC wameongeza doria katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Bushagara jimboni Kivu Kaskazini kufuatia ongezeko la vitisho na mashambulizi ya kundi la wapiganaji wa M23. Flora Nducha na taarifa zaidi…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia machafuko nchini DRC yanosababishwa na kundi la waasi la M23 mjini Goma. Makala tunakupeleka nchini Tanzania na mashinani ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kukumbuka waathiriwa wa mauaji ya halaiki tutasikia ujumbe wa Umoja wa Mataifa.Hali ya usalama kwenye mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, Goma, mashariki mwa Jamhur…
…
continue reading

1
Hali tete ikiendelea Goma DRC, MONUSCO/SAMIDRC wadhibiti uwanja wa ndege
2:19
2:19
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
2:19Hali ya usalama kwenye mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, ikiendelea kuwa tete, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani, nchini humo, MONUSCO pamoja na SAMIDRC ambao ni ujumbe wa kulinda amani kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika, SADC wanadhibiti uwanja wa ndege wa…
…
continue reading

1
Kuapishwa kwa Rais wa Marekani Donald Trump kwa muhula wa pili
20:15
20:15
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
20:15Kuapishwa kwa Donald Trump kama rais wa 47 wa Marekani, Mkutano wa kimataifa kuhusu uchumi huko Davos, Hali ya kibinadamu kuendelea kuzorota mashariki mwa DRC, Tundu Lissu ateuliwa kuwa mwenyekiti mpya wa chama cha Upinzani cha Chadema kule Tanzania, tutaangazia Sisa za Kenya, Sudan na maeneo Ya Afrika magharibi pia kwengineko duniani.…
…
continue reading

1
Akili Mnemba haikwepeki, tuiwezeshe ili ituwezeshe kwa manufaa ya walimu na wanafunzi - Walimu
3:22
3:22
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
3:22Akili Mnemba au AI inakuja kwa kasi kubwa sana na kubadilisha mwenendo wa walimu na wanafunzi darasani. Inaleta fursa za kipekee kama kufundisha kwa njia ya kibinafsi na upangaji wa masomo wenye ufanisi zaidi. Lakini pamoja na zana hizi, changamoto zimeibuka: kutegemea sana teknolojia hii, masuala ya kimaadili, na kupungua kwa ujuzi wa kusoma kwa k…
…
continue reading

1
Safari yangu Kyrgyzstan ilikuwa ya matumaini na elimu: Suhaila
2:13
2:13
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
2:13Katika siku ya Elimu duniani kutana na Suhaila msichana mkimbizi kutoka Afghanistan ambaye kupitia mpango wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR wa kuwahamishia wakimbizi katika nchi ya tatu aliwasili Jamhuri ya Kyrgyzstan ambako sio tu alipata maskani ya kudumu na wazazi wake bali pia matumaini na elimu iliyompa ari ya kurejes…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia machafuko nchini DRC, na katika elimu tunamsikia msichana wa Afghanistan ambaye ni mnufaika wa ufadhili wa Umoja wa Mataifa. Makala inatupeleka nchini Oaris kumulika matumizi ya AI katika elimu na mashinani tunakwenda nchini Sudan.Mashirika ya Umoja wa Mataifa hii leo yameonya kwamba kuongezeka kwa uhasama kwenye viunga…
…
continue reading

1
Kuna hofu mji mkuu wa eneo la Goma unaweza kuanguka katika mikono ya M23
2:25
2:25
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
2:25Mashirika ya Umoja wa Mataifa hii leo yameonya kwamba kuongezeka kwa uhasama kwenye viunga vya mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kunakohusisha kundi lisilo la kiserikali linalojihami kwa silaha, M23 kumesababisha watu wengi zaidi kuhama katika eneo hilo lenye utajiri wa madini, huku kukiwa na hofu kwamba mji mkuu wa e…
…
continue reading

1
On The Road With The MTA Episode 224 -- Building Heavenly Dreams For Kids, One Bed At A Time!
14:06
14:06
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
14:06This week in the studio with Stephanie K and Jay is Karen Gasperosky from Sleep In Heavenly Peace in Flushing. The Building Heavenly Bed event is coming up Saturday February 15th. To learn more about this event and how you can help out visit their website by clicking here.Av Flint MTA
…
continue reading
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya msemo “HIVI KWELI KISAUNI KUTOTA MVINDE?”Av Joramu Nkumbi
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini DRC kumulika mausala ya AI kwenye elimu tukielekea siku ya kimataifa ya elimu inayoangazia matumizi ya AI na changamoto zake. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ufafanuzi wa methali.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, MONUSCO, u…
…
continue reading

1
Mradi wa FAO umenikomboa mimi na familia yangu: Mkulima Noor Ahmed
3:46
3:46
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
3:46Katika jimbo la Kandahar nchini Afghanistan Noor Ahmen mkulima wa ngano amenufaika na mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO unaotoa mafunzo ya kilimo, kugawa mbegu na pembejeo kwa wakulima. Mradi huu ambao unafadhiliwa pia na Benk ya Dunia umezisaidia familia nyingi za wakulima sio tu kuinua kipato bali pia kuboresha lishe n…
…
continue reading

1
Asante IFAD kwa kutuwezesha watu wenye ulemavu Liberia
1:57
1:57
Spela senare
Spela senare
Listor
Gilla
Gillad
1:57Nchini Liberia, mradi unaotekelezwa na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Kilimo, IFAD umejengea uwezo watu wenye ulemavu wa kuona na kuwawezesha kuongeza vipato na vile vile uhakika wa kupata chakula. Simulizi ya Sabrina Moshi wa redio washirika SAUT FM mkoani Mwanza nchini Tanzania, inaelezea zaidi.Tuko kaunti ya Lofa, kaskazini kabisa mwa…
…
continue reading